.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 31 Januari 2014

CHELSEA KUMTWAA BEKI MFARANSA KURT ZOUMA

Timu ya Chelsea imekubali kukamilisha uhamisho wa paundi milioni 12, kumtwaa beki wa St Etienne Kurt Zouma mwenye umri wa miaka 19.

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho anaamini kuwa mchezaji huyo raia wa Ufaransa ni miongoni mwa wachezaji chipukizi barani Ulaya wenye kipaji cha juu. 



Hakuna maoni :

Chapisha Maoni