.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

RAIS WA UKRAINE, YANUKOVYCH AKUBALI UAMUZI WA KUJIUZULU KWA WAZIRI WAKE MKUU

Pichani kushoto, wabunge wa Bunge la Ukraine wakiwa ndani ya ukumbi wa Bunge, picha kulia ni waandamanaji.

Rais wa Ukraine Vicktor Yanukovych amekubali uamuzi wa Waziri wake Mkuu Mykola Azarov kujiuzulu katika kile alichosema Waziri huyo kuwa ni moja ya juhudi za kutuliza ghasia katika nchi hiyo.


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni