.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 27 Februari 2014

KAMATI YA WATU MASHUHURI YA ACP YAKUTANA ADDIS ABABA ETHIOPIA


Kamati hiyo inatafakari changamoto, muundo na majukumu mapya ya ACP na mfumo mpya wa ushirikiano wa nchi za ACP, nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya na nchi za ACP na wadau wengine wa maendeleo ifikapo mwaka 2020. 

Mkataba wa Cotonou ulioweka mfumo wa ushirikiano wa nchi za ACP na Jumuiya ya Ulaya utakoma  ifikapo mwaka 2020.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni