Jaji Mkuu Mstaafu Mh. Thomas Mihayo akitoa ufafanuzi wa uzinduzi wa Rasimu ya pili ya Katiba
Mkurugenzi Mtendaji wa Haki za Binadamu Bi. Helen Simba akieleza kuhusika kwa haki za Binadamu katika Rasimu ya Pili katiba kwa wananchi.
Mgeni
Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu
akitoa hotuba kabla ya uzinduzi Rasmi wa kampeni ya Taifa ya kusambaza
uelewa wa Rasimu ya Pili ya Katiba kwa Wananchi
Mgeni
Rasmi Makamu Mwenyekiti Tume za haki za Binadamu Bi. Maafudha Hamidu
akizindua Rasmi Kijitabu kidogo kilicho andikwa Rasimu ya Pili ya Katiba
Inasemaje? Chapisho la Lugha nyepesi
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni