.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 27 Februari 2014

LIGI YA MABINGA ULAYA 16 BORA, GALATASARAY NA CHELSEA HAKUNA MBABE

 Mshambuliaji wa Chelsea Fernando Torres akifunga bao kunako dakika ya 9 ya kipindi cha kwanza na kuifanya timu yake kuongoza dhidi ya wenyeji wao Galatasaray mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo
 Mshambuliaji wa Galatasaray, Chedjou akifunga bao la kusawazisha dhidi ya Chelsea kunako dakika ya 64 na kufanya matokeo kuwa 1-1 hadi mwisho wa mchezo huo wa klabu bingwa barani Ulaya hatua ya 16 bora
 Nahodha wa Chelsea John Terry akipewa kadi ya njanio na mwamuzi wa mchezo huo
Viti vyao vina raha sana kukalia, ngoja leo nijiachie kidogo nipunguze maneno maneno!! Kocha wa Chelsea Jose Mourinho akifuatilia mtanange huo ulimalizika kwa timu hizo kufungana bao 1-1

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni