Mshambuliaji wa Real Madrid, Gareth Bale akimfunga kiufundi mkubwa mlinda mlango wa Schalke katika mchezo wa klabu bingwa barani Ulaya, mchezo uliomalizika kwa Madrid kuichapa Schalke mabao 6-1
Mshambuliaji wa Real Madrid Cristiano Ronaldo akimchambua mlindamlango wa Schalke na kuifungia timu yake goli
Karim Benzema wa Real Madrid akipenyeza mpira na kuandika bao mbele ya mabeki wa Schalke huku pia mlinda mlango akiruka bila mafanikio
Mashabibiki wa Schalke waliofurika uwanjani kuishangilia timu yao wakishuhudia kipigo cha mwaka toka kwa Real Madrid
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni