China ilitoa mitambo yake ipatayo 10 ya Satelaiti kusaidi kuitafuta ndege hiyo inayosadikiwa kuwa imeanguka baharini baada ya kuondoka Kuala Lumpar kuelekea Beijing.

Picha za vifaa hivyo vitatu, ambavyo moja ina upana wa takriban mita 24 kwa 22, zilichukuliwa siku ya Jumapili, siku moja tu baada ya ndege hiyo kupotea, lakini zilichapishwa siku ya Jumatano.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni