.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 13 Machi 2014

CHRISTIANO RONALDO ALIPIA GHARAMA ZA UPASUAJI WA MTOTO AMBAE WAZAZI WAKE HAWANA UWEZO


Cristiano Ronaldo ameonyesha usamaria wema kwa kujitolea kulipia gharama za upasuaji za mtoto wa miezi 10, ambaye alikuwa na matatizo ya mfumo wa nyuroni, na wazazi wake walikuwa hawana uwezo.
Mtoto huyo Erik Ortiz Cruz ilikuwa hamna namna ya kuweza kupona bali ni kufanyiwa upasuaji, ambapo vipimo tu viligharimu paundi 5,020 ambapo pamoja na upasuaji gharama zake zinafikia paundi 50,240 sawa na zaidi ya shilingi milioni 13 za Tanzania. 

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni