.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 7 Machi 2014

JOTO LACHOCHEA KUONGEZEKA KWA UGONJWA WA MALARIA DUNIANI


Utafiti umebaini kuwa hali ya hewa ya joto inasababisha kusambaa kwa ugonjwa wa malaria katika maeneo yaliyopo kwenye miinuko.
Watafiti wamebaini kuwa watu wanaoshi kwenye maeneo ya miinuko katika bara la Afrika na Amerika ya Kusini wapo katika hatari kubwa ya kupata ugonjwa huo unaosambazwa na mbu katika majira ya joto.

Utafiti huo uliochapishwa kwenye jarida la madaktari, unaamini kuwa ongezeko la joto duniani litapelekea mamilioni ya watu kuugua ugonjwa wa malaria.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni