.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 8 Machi 2014

LIGI KUU UINGEREZA, MAN U YAICHAPA WEST BROM 3-0

 Ligi kuu ya Uingereza imeendelea hii leo kwa kushuhudia Manchester United ikiibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya West Brom katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Mabao ya mashetani wekundu ambao leo wamewapa raha mashabiki wao yalifungwa na Wayne Rooney, Phil Jones na Danny Welbeck. Kwa matokeo hayo Man United ipo nafasi ya sita katika msimamo wa ligi kuu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni