.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 11 Machi 2014

MAREKANI NA URUSI ZAVUTANA KUHUSU MGOGORO WA UKRAINE

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani, John Kerry amesema hakutakuwepo na mkutano wowote na Rais wa Urusi, Vladmir Putin kuzungumzia mgogoro wa Ukraine, hadi hapo Urusi itakapotekeleza mapendekezo ya Marekani ya kutatua mgogoro ulioikumba nchi hiyo, na Urusi kuondoa majeshi yake yote katika jimbo la Crimea.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni