.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 14 Machi 2014

MWANASIASA MKONGWE WA CHAMA CHA LABOUR TONY BENN AFARIKI DUNIA


Mwanasiasa mkongwe wa chama cha Labour cha nchini Uingereza Tony Benn amefariki nyumbani kwake hii leo akiwa na umri wa miaka 88.
Mwanasiasa huyo ambaye pia aliwahi kuwa waziri amefariki dunia leo asubuhi nyumbani kwake Magharibi mwa London akizungukwa na wanafamilia.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni