

Mtoto wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kiwete, Ridhiwani Kikwete ameibuka kidedea katika kinyang'anyiro cha kura za maoni za kuwania ubunge katika jimbo la Chalinze mkoani Pwani.
Ridhiwani amepata kura 758 na kuwabwaga wenzake watatu, aliyekuwa Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega aliyepata kura 335, Ramadhan Maneno ( 206 ) na Changwa Mohammed Mkwazu aliyepata kura 17
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni