.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 4 Machi 2014

WANAJESHI WA URUSI WAWAFYATULIA RISASI WANAJESHI WA UKRAINE

Vikosi vya Urusi vinavyoshikilia uwanja wa ndege wa jeshi wa Belbek katika mji wa Crimea wamefyatua hewani risasi za kuwaonya wanajeshi 300 wa Ukraine waliotaka kurejea kwenye kambi yao hiyo.

Wanajeshi wa Urusi katika kambi hiyo wamewaonya wanajeshi wa Ukraine kutosogelea uwanja huo.

Risasi kadhaa za kuwaonya zilifyatuliwa wa Ukraine wasio na silaha na kutishiwa kupigwa risasi iwapo wataendelea kusogea mbele.
                               Wanajeshi wa Ukraine wakiwa hawana silaha

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni