
Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Judith Kizenga akizungumza wakati wa kufungua warsha ya siku moja ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani,Iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni