Hapo sasa vijana watanashati wa Skylight Band wakiongozwa na Sam mapenzi katikati wakifanya yao ndani na Thai village Masaki.
Ni raha tupuuuu tu hapa mziki mtamu na mzuri toka kwa Skylight Band
Ijumaa, 25 Aprili 2014
BAADA YA SHOW YA PASAKA MWANZA, SKYLIGHT BAND WAREJEA NYUMBANI KUENDELEZA BURUDANI LEO THAI VILLAGE
Aneth Kushaba AK 47 akiongoza waimbaji wenzake kutoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band Ijumaa ya mwisho kabla ya kuelekea jijini Mwanza kwenye ukumbi wa Thai Village Masaki jijini Dar.Muziki ni Hisia na ndicho anachokifanya hapa mpiga gitaa mahiri wa Skylight band Allen Kiso Mundende.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni