Magari yakiwa katika foleni kubwa eneo la Sayansi katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Imechukua zaidi ya dakika arobaini kutoka Sayansi hadi kufika katika taa za makutano ya barabara ya Mwai Kibaki kutokana na foleni hiyo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni