Gari linalosadikiwa kuwa limebeba mlipuko limekutwa limetelekezwa nje ya uzio wa shule ya Sekondari ya Don Bosco katika mtaa wa Pangani, jijini Nairobi leo asubuhi.
Iliwabidi polisi kutumia mbwa maalum ili kulikagua gari hilo. Wizara ya mambo ya ndani imethibitishwa kukutwa kwa mlipuko ndani ya gari hilo.
Kenya imekuwa ikabiliwa na vitendo vya kigaidi kwa siku za karibuni, na jana watu 4 walifariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu katika kituo cha Polisi cha Pangani, bomu hilo lililokuwa ndani ya gari lililokamatwa na polisi
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni