Ligi kuu nchini Uingereza imeendelea leo kwa kushuhudia Tottenham ikiifunga Fulham mabao 3-1 katika mchezo uliomalizika punde na uliokuwa na ushindani wa hali ya juu kutoka kila upande.
Magoli ya Tottenham yaliwekwa kimiani na Paulinho, Harry Kane na Younes Kaboul yaliatosha kuhakikisha Tottenham inazoa pointi zote tatu muhimu kwa kikosi hicho
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni