.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 12 Aprili 2014

MVUA YAKATA MAWASILIANO YA DAR NA BAGAMOYO, DARAJA LA MPIJI LAKATIKA

Daraja la mto Mpiji likiwa limekatika na kuwafanya wananchi hawa kushindwa kutoka upande mmoja kwenda mwingine. Kumeguka kwa daraja hili mapema leo, kumesababisha kukatika kwa mawasiliano kati ya mkoa wa Pwani hasa Bagamoyo na jiji la Dar es Salaam, kwani hii ndio njia kuu ya kutoka na kuingia Bagamoyo.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni