.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 14 Aprili 2014

RAIS KIKWETE AMLILIA MUHIDIN MAALIM GURUMO

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salaam za rambi rambi Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mheshimiwa Fenella Mukangara kufuatia kifo cha mwanamuziki maarufu wa muziki wa dansi nchini, Muhidin Maalim Gurumo kilichotokea jana katika hospitali ya Taifa Muhimbili alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo uliomsumbua kwa muda mrefu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni