TASWIRA MBALIMBALI ZA MAZIKO YA MAALIM GURUMO HAPO JANA
Waombolezaji wakiwa nyumbani kwa mwanamuziki nguli nchini Muhidin Maalim Gurumo kijijini kwao Masaki wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kabla ya maziko yaliyofanyika jana mchana
Waombolezaji wakiwa msibani, kijijini Masaki wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani
Waombolezaji wakibeba jeneza lenye mwili wa Muhidin Maalim Gurumo kuelekea msikitikini kabla ya kuelekea makaburini
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni