Ijumaa, 9 Mei 2014
FA YAMPIGA FAINI YA PAUINDI 10,000 MOURINHO
Chama cha soka nchini Uingereza ( FA ) kimempiga faini ya paundi 10,000 meneja wa timu ya soka ya Chelsea, Jose Mourinho kutokana na kauli yake ya kejeli ya kumpongeza mwamuzi aliyechezesha mechi ya ligi kuu Uingereza, mchezo kati ya Chelsea na Sunderland tarehe 18 mwezi uliopita, mchezo uliomalizika kwa Chelsea kufungwa mabao 2-1
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni