Kuingia na kutoka katikati ya jiji kipindi hiki cha mvua ni kazi kweli kweli. Foleni hii ya magari katika barabara ya Ali Hassan Mwinyi karibu na daraja la Salender ikiwa inatembea taratibu sana.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni