.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Mei 2014

MASHABIKI WA MANCHESTER UNITED KUSUBIRI SANA KUMJUA KOCHA WAO MKUU

Timu ya soka ya Manchester United wiki hii haitamtangaza kocha mkuu wa timu hiyo kuchukua nafasi ya David Moyes aliyetimuliwa hivi karibuni, japo kocha wa timu ya taifa ya Uholanzi, Louis Van Gaal amekuwa akitajwa kuchukua nafasi hiyo. 

Tarifa zaidi zinasema kocha huyo uhenda akatangazwa baada ya kumalizika kwa fainali za kombe la Dunia nchini Brazil baadaye mwaka huu. 

Kwasasa timu hiyo inanolewa na kocha wa muda Ryan Giggs.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni