Sepp Blatter kushoto akiongea na Michel Platini
Rais wa Uefa Michel Platini amesema
hatomuunga mkono rais wa Fifa Sepp Blatter katika uchaguzi
utakaofanyika mwakani.
Blatter mwenye umri wa miaka 78,
amekuwa kwenye shinikizo la kashfa ya kuipatia Qatar nafasi ya
kuandaa Michuano ya Kombe la Dunia ya Qatar mwaka 2022.
Platini amenukuliwa akisema
hatomuunga mkono Blatter na tayari amemfahamisha hivyo, kwa kuwa Fifa
sasa inahitaji sura mpya.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni