Mchezaji kipisi cha mtu Adebayo
Akinfenwa ambaye anasadikiwa kuwa ni mchezaji mwenye misuli zaidi
ameonyesha kiwango katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Chelsea.
Licha ya kutofunga goli katika
mchezo huo Akinfenwa anayechezea AFC Wimbledon alionyesha
kuichachafya beki ya Chelsea.
Katika mchezo huo wa kirafiki John
Terry alifunga mara mbili na kuisaidia timu yake wa Chelsea kuibuka
na ushindi wa mabao 3-2.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni