Abiria mmoja aliyekuwa amelewa pombe, amejaribu bila mafanikio kufungua mlango wa abiria wa ndege wa Ryanair ikiwa angani kuelekea Dublin akidhani ni malngo wa choo cha ndani ya ndege.
Abiria huyo, Thomasz Mucha mwenye miaka 26 alikuwa amekunywa Vodca na bia wakati akifanya kitendo hicho.
Hata hivyo wahudumu wa ndege hiyo walifanikiwa kumdhibiti Mucha na kumrudisha katika kiti chake na kumuweka chini ya uangalizi hadi ndege ilipotua salama.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni