Maandalizi ya Ligi Kuu ya Uingereza
kwa timu ya Chelsea yamekumbwa na pigo baada ya mchezaji wao Didier
Drogba kuumia katika mchezo wao dhidi ya Ferencvaros.
Katika mchezo huo Cesc Fabregas
pamoja na Ramires waliifungia Chelsea mabao safi na kufanya matokeo
kuishia kwa ushindi wa mabao 2-1.
Didier Drogba akiwa katika maumivu makali



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni