Mwanamke mmoja Jijini London
amejikuta akiwa mama wa watoto wanne ndani ya miezi tisa baada ya
kutunga mimba ya watoto watatu mara tu baada ya kujifungua mtoto wa
kiume.
Mama huyo Sarah Ward na mwanae wa
kwanza Freddie akiwa na miezi tisa, alijifungua watoto watatu na
mwenza wake Benn Smith jambo ambalo limewashtua.
Kwa sasa Mama Sarah anakibarua cha
kubadilisha nepi 175, kuandaa chupa 80 za maziwa kwa ajili ya watoto
hao kila wiki, kibarua ambacho si rahisi kukimudu.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni