Katika ajali hiyo, maofisa wengine wanne wa jeshi pia walifariki dunia papo hapo baada ya helkopta hiyo kuanguka katika eneo lenye milima katika jimbo la Huehuetenango.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana, na rais wa Guatemala Otto Perez Molina ametuma salam za rambi rambi kufuatia kifo cha Jenerali Ortiz.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni