Mwanamke huyo mama wa watoto nane
amekamatwa eneo la Majengo mjini Narok, baada ya kuwekewa mtego na
polisi, kufuatia kupatiwa taarifa na raia mwema kuhusu mwanamke
aliyekuwa akiuza watoto wake.
Kwa mujibu wa polisi, mwanamke huyo
ambaye mumewe alifariki miaka mitatu iliyopita alikuwa anawauza
watoto hao wawili ili aweze kuwalisha wengine sita na kuwalipia ada
bada ya wote kuacha shule.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni