Meneja wa NHC Mkoa
wa Dodoma Bw. Itandula Gambalagi akikabidhi mashine 28 kwa Mkuu wa Mkoa
wa Dodoma Dk Rehema Nchimbi katika hafla iliyofanyika katika ofisi za
mkuu wa wilaya ya Chamwino.
Mkufunzi kutoka VETA akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa jinsi mashine hizo zinavyofanya kazi.
Mkuu
wa mkoa Dr Rehema Nchimbi akikabidhi mashine kwa wakuu wa wilaya za
Chamwino na Kongwa kwa niaba ya wakuu wa wilaya zote za mkoa wa Dodoma.
(Picha kwa hisani ya kittengo cha Mawasiliano na Huduma kwa Jamii cha
Shirika la Nyumba la Taifa)



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni