.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 11 Agosti 2014

RAIA WA TAIWAN ANASWA NA DOLA FEKI KATIKA UWANJA WA JOMO KENYATTA

Polisi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta wanamshikilia mwanaume mmoja raia wa Taiwan baada ya kukutwa akiwa amebeba dola feki 250,000 zenye thamani sawa na shilingi milioni 21.2 za Kenya.

Mtu huyo ambaye anaumri wa miaka 30, amekamatwa jana usiku akishuka kwenye ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia iliyotokea Abu Dhabi, ambapo fedha hizo alikuwa amezizungushia kwenye mfuko wa karatasi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni