.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Agosti 2014

WAZIRI WA MAMBO YA NJE UINGEREZA ATANGAZA KUJIUZULU

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Baroness Warsi ambaye ni Muislam ametangaza kujiuzulu wadhifa huo kutokana na kutokubaliana na msimamo wa serikali yake dhidi ya hali ya Gaza.

Waziri huyo wa kwanza Muislam nchini Uingereza ametangaza uamuzi huo usiotarajiwa kupitia akaunti yake ya Twitter na kusema amefanya hivyo kupinga msimamo wa serikali kutokuwa na sera zinazotetea Gaza.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni