Kinana akisaidia kufyatua matofali ya kujengea maabara katika Shule ya Sekondari ya Gongoni, katika Kata ya Gongoni, wialyani Kisarawe.Matofali hayo yanafyatuliwa na wanakikundi cha vijana chas wajasiriamali.
Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Maneromango.
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Suleiman Jaffo akielezea kwa wananchi jinsi miradi mingi iliyokamilika ujenzi wake kwa kuata Ialani ya Uchaguzi ya CCM.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni