Mshambuliaji wa Colombia Radamel
Falcao amejiunga na Manchester United kwa mkopo wa mwaka mmoja
utakaowagharimu paundi milioni 12 akitokea Monaco katika siku ya
mwisho kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili.
Manchester United imewazidi kete
Arsenal, Manchester City na Juventus katika kumnasa mchezaji huyo
ambapo inasemekana atakuwa analipwa mshahara wa paundi 200,000 kwa
wiki na klabu hiyo yenye maskani yake Old Trafford.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni