.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Jumatano, 22 Oktoba 2014
BALOZI KAMALA APOKEA VIFAA VYA MCHEZO WA MPIRA KUTOKA CHAMA CHA MPIRA CHA UBELIGIJI
Balozi wa Tanzania Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (katikati) akiwa na Viongozi wa Chama cha Mpira cha Ubeligiji baada ya kupokea vifaa vya mchezo wa mpira. Kulia ni Msaidizi wa Rais wa Chama cha Mpira cha Ubeligiji Bwana Thomas Pereira na kushoto ni Bwana Frederic Veraghame Meneja Mwendeshaji wa Chama cha Mpira cha Ubeligiji. Balozi Kamala amepokea vifaa hivyo leo mjini Tubize Ubeligiji. Pamoja na mambo mengine, Balozi Kamala amekubaliana na Viongozi hao kuandaa mpango wa ushirikiano wa kuendeleza mchezo wa mpira kati ya Tanzania na Ubelgiji.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni