.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 24 Oktoba 2014

DAKTARI MMOJA WA JIJINI NEW YORK ALIYETOKEA GUINEA ABAINIKA KUWA NA EBOLA

Daktari wa Jijini New York nchini Marekani aliyerejea kutoka nchi ya Guinea iliyokumbwa na ugonjwa wa Ebola amebainika kuwa na virusi vya Ebola.

Dktari huyo Craig Spencer, aliyekuwa anawatibu wagonjwa wa Ebola wakati akifanya kazi na shirika la misaada la Madaktari wasio na Mipaka (MSF), alifika New York akiwa na homa siku ya Alhamisi.

Tukio hili la mgonjwa wa Ebola ni la kwanza kutokea Jijini New York, na ni mgonjwa wa nne kutokea nchini Marekani.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni