.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 23 Oktoba 2014

SHIRIKA LA WHO LAFANYA MKUTANO WA DHARURA KUZUNGUMZIA MLIPUKO WA EBOLA

Kamati ya dharuza ya Shirika la Afya Dunia (WHO) inafanya mkutano kuzungumzia mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

Mkutano huo unaofanyika Geneva unatathimini hatua za kuimarisha upimaji katika mipaka, na kufikiria uwezekano wa kuweka utaratimu wenye masharti makali ya kusafiri.

Sheria mpya za Marekani zinawataka wasafiri kutoka nchi zilizoathiriwa mno na mlipuko wa Ebola kufikia katika viwanja vitano vya ndege vilivyotengwa kwa ajili yao.

Idadi ya vifo vya ugonjwa wa Ebola sasa imefikia watu 4,877, ikiwa ni ongezeko la vifo vya watu 322 tangu WHO itoe ripoti yake siku tano zilizopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni