Jumamosi, 29 Novemba 2014
BOKO HARAMU WAHUSISHWA ULIPUAJI WA MSIKITI MJINI KANO AMBAPO WATU 120 INASADIKIWA KUFARIKI DUNIA
Inasadikiwa kuwa zaidi ya waumini 120 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 270 wamejeruhiwa baada ya kutokea milipuko ya mabomu wakati wakiwa katika ibada ya ijumaa katika msikiti mkuu wa Grand uliopo mjini Kano nchini Nigeria jana mchana.
Mabamu matatu yanasemekana kulipuliwa katika msikiti huo, na bomu la kwanza lililipuka wakati mshambuliaji alipokuwa anataka kuingia na gari ndani ya maegesho ya magari ya msikiti huo.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni