Wakazi wa Ferguson, Marekani wamechoma moto
majengo na magari ya polisi pamoja na kuiba mali madukani baada ya
uamuzi wa mahakama wa kutomfungulia mashtaka afisa polisi aliyemuua
kwa kumpiga risasi kijana mweusi Michael Brown ambaye hakuwa na
silaha.
Polisi wakiwatimua waporaji dukani
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni