Meyiwa alipigwa risasi jumapili iliyopita nyumbani kwa mpenzi wake jijini Johannesburg baada ya wahalifu kuvamia nyumbani kwake.
Jumamosi, 1 Novemba 2014
MAELFU WAFURIKA KUTOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO KWA NAHODHA WA TIMU YA TAIFA YA AFRIKA KUSINI
Maelfu ya waombolezaji wamefurika kwa wingi katika uwanja wa Moses Mabhida mjini Durban nchini Afrika Kusini kutoa heshima zao za mwisho kwa mlinda mlango na nahodha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini " Bafana Bafana ", Senzo Meyiwa ambaye aliuawa kwa kupigwa risasi wiki iliyopita.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni