Hatimae mwanamuziki wa kike maarufu
nchini Uganda Desire Luzinda, ameongea na maafisa upelelezi wa polisi
kuhusiana na kusambaa kwa picha zake za utupu mitandaoni.
Luzinda alifika makao makuu ya
polisi juzi usiku na kwenda moja kwa moja katika ofisi ya msemaji wa
polisi ambapo alihojiwa na wapelelezi kwa muda wa saa mbili.
Vyanzo vya polisi vimesema Luzinda
ametoa maelezo yanayomtuhumu aliyekuwa mpenzi wake kwa kuvujisha
picha hizo kwenye mitandao ya jamii.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni