Rais Barack Obama amefanya tendo la
kawaida Ikulu la utamaduni wa kuwaachia batamzinga wawili,
kuwaepusha kuishia kuwa mlo wa usiku katika sherehe za Thanksgiving.
Katika mwaka huu jamii hiyo ya ndege
waitwao Mac na Cheese, ambao ndio jina la mlo wa utamaduni unaoendana
na sherehe hizo wameachiwa na wataelekea Virginia.
Rais Obama amekiri kushangazwa
kwanini anafanya hivyo kila mwaka wakati anamajukumu makubwa
yanayomkabili na kukiri kuwa hata hivyo anafurahi jambo hilo.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni