.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Novemba 2014

WANAHARAKATI WA USWIZI WATAKA ULAJI WA PAKA NA MBWA KUPIGWA MARUFUKU

Mamia kwa maelfu ya wananchi wa Uswizi wanakula nyama za paka na mbwa, ambapo wanaharakati wanataka ulaji wanyama hao upigwe marufuku nchini humo.

Wanaharakati hao wamekusanya saini 16,000 na kuzikabidhi kwa bunge la nchi hiyo ili kutunga sheria ya kuwazuia watu kula wanyama hao wa nyumbani.

Muasisi na Rais wa Taasisi ya Kulinda Wanyama Tomi Tomek, amesema robo tatu ya raia wa Uswizi wanakula wanyama hao, ambapo nyakati za krismasi wanyama hao huwa mlo muhimu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni