Spika wa Bunge la Vijana Ndg. Edgar Israel kutoka chuo cha St. John cha Dodoma akiingia Bungeni tayari kwa kuanza kwa Bunge hilo
Mpambe wa Bunge akiweka siwa mezani tayari kwa kuanza vikao vya Bunge la Vijana
Spika wa Bunge la Vijana Ndg. Edgar Israel kutoka chuo cha St. John cha Dodoma akisoma dua kabla ya kuanza kwa Bunge hilo mjini Dodoma. Waliosimama mbele yake ni Makatibu Mezani
Washiriki wa Bunge la Vijana wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa maafisa wa Bunge kabla ya kuanza vikao vya Bunge hilo
Washiriki wa Bunge la Vijana wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa maafisa wa Bunge kabla ya kuanza vikao vya Bunge hilo
Mshauri Msaidizi wa Maswala ya Sheria wa Bunge Ndg. Matamus Fungo akifafanua namna Muswada wa Sheria unavyopitia katika hatua mbalimbali Bungeni.
Mkurugenzi msaidizi kutoka Kamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein akifafanua jambo wakati wa semina ya Maalum kwa Wabunge wa Bunge la Vijana kabla ya kuanza kwa Bunge hilo Jana
Afisa wa Bunge Ndg. Patson Sobha akielezea baadhi ya taratibu za kibunge wakati wa semina kwa Wabunge wa Bunge la Vijana kabla ya kuanza kwa Bunge hilo jana. Picha na Owen Mwandumbya
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni