.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 6 Desemba 2014

MAELFU WAADHIMISHA KUMBUKUMBU YA MWAKA MMOJA WA KIFO CHA NELSON MANDELA

Wananchi wa Afrika Kusini jana waliadhimisha mwaka mmoja wa kumbukumbu ya kifo cha Nelson Mandela Madiba aliyefariki dunia desemba 05'2013 nchini humo akiwa na umri wa miaka 95. Sehemu mbalimbali nchini humo wananchi walikusanyika wakiwa na maua mkononi kusherehekea kumbukumbu hiyo ya rais huyo wa kwanza mweusi nchini humo.
Mjane wa Nelson Mandela, Graca Michel ( kushoto ) akiwa ameongozana na wana familia wengine wakiwa na maua walipofika katika sanamu ya kiongozi huyo mtetezi wa weusi mjini Pretoria kuadhimisha mwaka mmoja wa kifo chake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni