Msahmbuliaji mtukutu wa Liverpool, Mario Balotelli amefunguliwa mashitaka na Shirikisho la Soka la Uingereza ( FA ) kutokana na maneno yake yaliyohusishwa na ubaguzi aliyoweka katika mtandao wao wa kijamii Instagram. Mario mwenye miaka 24 aliweka katika mtandao huo maneno yaliyosema "jumps like a black man and grabs coins like a Jew.". Hata hivyo baada ya muda mfupi aliondoa maneno hayo na kuomba radhi.


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni