Naibu Waziri wa Maji,Mh Amos Makalla akisikiliza maelezo kutoka kwa viongozi wa mji mdogo wa Himo katika moja ya kituo cha kuchotea maji.
Naibu Waziri wa Maji, Mh Amos Makalla akipokelewa na mchungaji kiongozi Rev Elia Saria wa Mwika bible school.Atembelea mradi wa kuchimba kisima kirefu mwika bible schoo,mradi maji Mji mdogo wa Himo na mradi wa maji Boro(Masoka). Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mh Novatus Makunga.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni